Habari za muda huu msomaji mpendwa wa makala zangu?
Katika harakati za kuendelea kukuza sekta ya ufugaji nchini Tanzania,leo nimeona nikuletee moja ya ugonjwa unaosumbua.
UKOSEFU WA VITAMINI!
Ugonjwa huu upata kuwa wa mwezi 1 na mara nyingine miezi 3.Huathiri baadhi ya kuku katika banda na mara nyingine hupelekea vifo.
Ikiwa utawahiwa unaweza kutibika na kuku kurudia katika hali yake.
DALILI!
-Kuku kulegea na kukosa nguvu katika miguu na shingo.
-Shingo kupinda.
-Kuku kujizungusha na kujupiga piga.
-kushindwa kutoa kinyesi kwa muda mrefu na kinapotoka huwa kikubwa.
-kuku hushindwa kula
SULUHISHO
Ili kuwakinga kuku wako na ugonjwa huu kumbuka kuwapatia dawa iliyokatika mfumo wa 'multivitamin' wanapokuwa wamefikisha siku ya 14 toka kutotolewa.
Au ikiwa kuku wàtakuwa wameathirika wapatie 'multivitamin' zenye mchanganyiko wa BIOTIC mara tu unapogundua tatizo.
Pia wapatie DCP ili kuimarisha mifupa na misuli yao.
Kumbuka kuwalisha kuku wagonjwa wakati wanapokuwa wanaumwa.
DAWA
*Broiler boost multivitamin nk.
Tuwekee maoni yako hapa chini.
Ushauri zaidi:-
Piga:+255712815848
Imeandaliwa na:Patrick Roman
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni